Genesis 17:1

Agano La Tohara

1 aAbramu alipokuwa na miaka tisini na tisa, Bwana akamtokea akamwambia, “Mimi ndimi Mwenyezi Mungu;
Mwenyezi Mungu hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).
enenda mbele zangu na uishi kwa unyofu.
Copyright information for SwhKC